YouVersion Logo
Search Icon

Ezekieli 37:1-2

Ezekieli 37:1-2 BHND

Mimi Ezekieli nilikumbwa na uzito wa nguvu ya Mwenyezi-Mungu, naye akaninyanyua kwa roho yake na kuniweka katika bonde lililokuwa limejaa mifupa. Basi, akanitembeza kila mahali bondeni humo. Kulikuwa na mifupa mingi sana katika bonde lile, nayo ilikuwa mikavu kabisa.

Free Reading Plans and Devotionals related to Ezekieli 37:1-2