YouVersion Logo
Search Icon

Ezekieli 33:6

Ezekieli 33:6 BHND

“Lakini kama yule mlinzi akiona adui wanakuja asipige tarumbeta na watu wakawa hawakuonywa juu ya hatari inayokuja, maadui wakaja na kumuua mtu yeyote miongoni mwao; huyo mtu aliyekufa, atakuwa amekufa kwa kosa lake. Lakini mimi nitamdai mlinzi kifo cha mtu huyo.

Free Reading Plans and Devotionals related to Ezekieli 33:6