Waroma 4:20-21
Waroma 4:20-21 SRB37
Hata kile kiagio cha Mungu hakupotelewa nacho, kwani kukitegemea hakukumshinda, ila akakaza kukitegemea kwa nguvu, akamtukuza Mungu. Maana aliyashika moyoni, aliyoyatambua ya kuwa: Yeye ana nguvu ya kuyatimiza, aliyoyaagia.