Waroma 4:16
Waroma 4:16 SRB37
Kwa hiyo wenye kumtegemea Mungu ndio watakaogawiwa; tena hivyo kile kiagio kinawatimilia wao wote walio uzao wake, sio wenye kuyafuata Maonyo tu, ila nao wenye kuifuata njia yake Aburahamu ya kumtegemea Mungu; hivyo ndivyo, anavyokuwa baba yetu sisi sote