Mateo 15:25-27
Mateo 15:25-27 SRB37
Naye mwanamke akaja, akamwangukia, akasema: Bwana, nisaidie! Naye akajibu akisema: Haifai kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia vijibwa. Mwanamke akasema: Ndio Bwana, lakini nao vijibwa hula makombo yanayoanguka mezani pa bwana zao.