Mateo 12:36-37
Mateo 12:36-37 SRB37
Nami nawaambiani: Siku ya hukumu watu wataulizwa kila neno baya walilolisema. Kwani kwa maneno yako utapata wongofu, vile vile utapata hukumu kwa maneno yako.
Nami nawaambiani: Siku ya hukumu watu wataulizwa kila neno baya walilolisema. Kwani kwa maneno yako utapata wongofu, vile vile utapata hukumu kwa maneno yako.