Warumi 12:14-15
Warumi 12:14-15 SWZZB1921
Wabarikini wanaowafukuzeni; barikini, wala msilaani. Furahini pamoja nao wafurahio; lieni pamoja nao waliao.
Wabarikini wanaowafukuzeni; barikini, wala msilaani. Furahini pamoja nao wafurahio; lieni pamoja nao waliao.