YouVersion Logo
Search Icon

Kutoka 2:10

Kutoka 2:10 SCLDC10

Mtoto alipokuwa mkubwa kiasi, mama yake akampeleka kwa binti Farao, naye akamchukua na kumfanya mwanawe. Binti Farao akasema, “Nimemtoa majini,” kwa hiyo akampa mtoto huyo jina Mose.

Free Reading Plans and Devotionals related to Kutoka 2:10