Matendo 19:11-12
Matendo 19:11-12 SCLDC10
Mungu alifanya miujiza ya ajabu kwa mikono ya Paulo. Watu walikuwa wakichukua leso na nguo nyingine za kazi ambazo Paulo alikuwa amezitumia, wakazipeleka kwa wagonjwa, nao wakaponywa magonjwa yao; na wale waliokuwa na pepo wabaya wakatokwa na pepo hao.



![[Acts Inspiration For Transformation Series] The Unstoppable Force Of The Gospel Matendo 19:11-12 BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F15126%2F1440x810.jpg&w=3840&q=75)

