YouVersion Logo
Search Icon

ZAKARIA 12:10

ZAKARIA 12:10 SWC02

Halafu nitawajaza wazao wa Daudi na wakaaji wa muji Yerusalema roho ya huruma na maombi, nao watamwangalia yule waliyemutoboa kwa mukuki; watamulilia kama vile mutu anavyolia kwa kifo cha mutoto wake wa pekee, au kama vile mutu anavyomulilia kwa uchungu muzaliwa wake wa kwanza.

Free Reading Plans and Devotionals related to ZAKARIA 12:10