YouVersion Logo
Search Icon

Waroma 4:17

Waroma 4:17 SWC02

Ni sawa vile inavyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Nimekuweka kuwa babu wa mataifa mengi.” Abrahamu alimwamini Mungu, kwa hiyo yeye ni baba yetu mbele yake. Ni yeye Mungu anayewafufua wafu na kuamuru vitu visivyokuwa vipate kuwa.

Free Reading Plans and Devotionals related to Waroma 4:17