Waroma 14:11-12
Waroma 14:11-12 SWC02
Kwa maana imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Bwana anasema: Kama vile ninavyoishi, kila mutu atapiga magoti mbele yangu, na kila mutu ataitikia kwamba mimi ni Mungu.” Kwa hiyo kila mumoja kati yetu atajitetea mwenyewe kwa Mungu.






