Waroma 1:22-23
Waroma 1:22-23 SWC02
Wanajidai kwamba wao ni wenye hekima, lakini wako wapumbafu. Kwa pahali pa kumwabudu Mungu anayeishi milele, wakaabudu sanamu zilizochongwa kwa mufano wa mutu anayekufa, wa ndege, wa nyama na hata viumbe vyenye kutambaa.





