Ufunuo 7:15-16
Ufunuo 7:15-16 SWC02
Ndiyo maana wanasimama mbele ya kiti cha kifalme cha Mungu, nao wanamutumikia muchana na usiku katika hekalu lake. Na yule anayeikaa juu ya kiti cha kifalme atawalinda katika hema yake. Nao hawatasikia njaa tena, wala kiu, wala jua halitawapiga tena, wala joto lolote.





