YouVersion Logo
Search Icon

Ufunuo 6:12-13

Ufunuo 6:12-13 SWC02

Kisha nikaona mambo haya: Mwana-Kondoo alipofungua kifundo cha muhuri wa sita, kukakuwa tetemeko kubwa la dunia; jua ikageuka kuwa nyeusi kama nguo ya kilio na mwezi ukageuka kuwa mwekundu kama damu. Nyota za mbinguni zikaanguka katika dunia kama vile matunda mabichi ya muti wa tini yanavyoanguka wakati muti wake unapotikiswa na upepo mukali.