YouVersion Logo
Search Icon

Ufunuo 14:1

Ufunuo 14:1 SWC02

Kisha nikaangalia, nikaona Mwana-Kondoo akisimama juu ya mulima Sayuni. Naye alikuwa pamoja na watu elfu mia moja makumi ine na ine, na juu ya paji za nyuso za watu wale kulikuwa kumeandikwa jina lake na jina la Baba yake.

Free Reading Plans and Devotionals related to Ufunuo 14:1