Zaburi 33:18-19
Zaburi 33:18-19 SWC02
Yawe anawaangalia wale wanaomwabudu, watu ambao wanatumainia wema wake. Yeye anawaokoa katika kifo, anawalinda wakati wa njaa.
Yawe anawaangalia wale wanaomwabudu, watu ambao wanatumainia wema wake. Yeye anawaokoa katika kifo, anawalinda wakati wa njaa.