Mezali UTANGULIZI
UTANGULIZI
Kitabu cha Mezali ni kimoja kati ya “vitabu vya hekima” katika Agano la Kale. Vitabu vingine vya namna hii ni Yobu na Muhubiri. Kitabu chenyewe kina mukusanyo wa mezali mbalimbali ambazo kwa jumla kusudi lake ni kuwafundisha watu maisha bora. Nyingi zinatajwa kuwa za mufalme Solomono ambaye alijulikana kama mwenye hekima mukubwa kabisa. Kitabu hiki kinaweza kugawanyika hivi:
Sura 1-9: Utangulizi juu ya hekima. Katika sehemu hii tunaelezwa wazi kazi ya hekima. Hekima hapa inazungumuziwa sawa vile ni mutu.
Sura 10-29: Hapa tuna mukusanyo wa mezali zinazotajwa kama za mufalme Solomono (10.1–22.16; 25.1–29.27), pamoja na nyingine ambazo zinatoka kwa wenye hekima wengine (22.17–24.34).
Sura 30-33: Katika sehemu hii kuna visehemu vine tofauti, viwili vikitupasha juu ya mafikiri na maonyo ya wenye hekima wasiokuwa Wayuda (30.11-14 na 31.1-9).
Currently Selected:
Mezali UTANGULIZI: SWC02
Highlight
Copy
Compare
Share
Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in
Bible in Swahili Congo © Bible Society of the Democratic Republic of Congo (DRC), 2002.
Mezali UTANGULIZI
UTANGULIZI
Kitabu cha Mezali ni kimoja kati ya “vitabu vya hekima” katika Agano la Kale. Vitabu vingine vya namna hii ni Yobu na Muhubiri. Kitabu chenyewe kina mukusanyo wa mezali mbalimbali ambazo kwa jumla kusudi lake ni kuwafundisha watu maisha bora. Nyingi zinatajwa kuwa za mufalme Solomono ambaye alijulikana kama mwenye hekima mukubwa kabisa. Kitabu hiki kinaweza kugawanyika hivi:
Sura 1-9: Utangulizi juu ya hekima. Katika sehemu hii tunaelezwa wazi kazi ya hekima. Hekima hapa inazungumuziwa sawa vile ni mutu.
Sura 10-29: Hapa tuna mukusanyo wa mezali zinazotajwa kama za mufalme Solomono (10.1–22.16; 25.1–29.27), pamoja na nyingine ambazo zinatoka kwa wenye hekima wengine (22.17–24.34).
Sura 30-33: Katika sehemu hii kuna visehemu vine tofauti, viwili vikitupasha juu ya mafikiri na maonyo ya wenye hekima wasiokuwa Wayuda (30.11-14 na 31.1-9).
Currently Selected:
:
Highlight
Copy
Compare
Share
Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in
Bible in Swahili Congo © Bible Society of the Democratic Republic of Congo (DRC), 2002.