Mezali 3:13-15
Mezali 3:13-15 SWC02
Heri mutu anayetambua hekima, mutu yule anayepata ufahamu. Hekima ni bora kuliko feza, ina faida kuliko zahabu. Hekima ni ya maana sana kuliko mawe ya bei kali, hakuna kitu unachotamani kinachoweza kulingana nayo.
Heri mutu anayetambua hekima, mutu yule anayepata ufahamu. Hekima ni bora kuliko feza, ina faida kuliko zahabu. Hekima ni ya maana sana kuliko mawe ya bei kali, hakuna kitu unachotamani kinachoweza kulingana nayo.