YouVersion Logo
Search Icon

Mezali 3:13-15

Mezali 3:13-15 SWC02

Heri mutu anayetambua hekima, mutu yule anayepata ufahamu. Hekima ni bora kuliko feza, ina faida kuliko zahabu. Hekima ni ya maana sana kuliko mawe ya bei kali, hakuna kitu unachotamani kinachoweza kulingana nayo.