Mezali 2:7-8
Mezali 2:7-8 SWC02
Anawawekea watu wa usawa akiba ya hekima safi, yeye ni ngao kwa watu wanaoishi kwa ukamilifu. Analinda mienendo ya watu wanaofuata sheria yake, na kuchunga njia za waaminifu wake.
Anawawekea watu wa usawa akiba ya hekima safi, yeye ni ngao kwa watu wanaoishi kwa ukamilifu. Analinda mienendo ya watu wanaofuata sheria yake, na kuchunga njia za waaminifu wake.