Wafilipi 2:6-8
Wafilipi 2:6-8 SWC02
Tangu mwanzo yeye alikuwa na hali ya Mungu, lakini hakuona kwamba kuwa sawa na Mungu ni kitu cha kushikamana nacho. Alitupilia hivi vyote, akatwaa hali ya mutumwa. Akatwaa mufano wa mutu, naye akaonekana katika hali ya kimutu. Alijinyenyekeza na kutii mpaka kufa, ndiko kufa kwake juu ya musalaba.







