Hesabu 14:6-7
Hesabu 14:6-7 SWC02
Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, ambao walikuwa kati ya wale watu waliokwenda kupeleleza hiyo inchi, wakararua nguo zao na kuwaambia Waisraeli: Inchi tuliyokwenda kupeleleza ni nzuri sana.
Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, ambao walikuwa kati ya wale watu waliokwenda kupeleleza hiyo inchi, wakararua nguo zao na kuwaambia Waisraeli: Inchi tuliyokwenda kupeleleza ni nzuri sana.