Nehemia 7:3
Nehemia 7:3 SWC02
nikawaagiza: “Milango isifunguliwe usiku kucha mpaka jua linapokuwa limepanda. Mbele ya kuondoka kwa walinzi ni lazima kufunga milango yote kwa vifungio vyake. Muchague walinzi kati ya wakaaji wa muji wa Yerusalema, kila mumoja akuwe kwa nafasi yake kuelekeana na nyumba yake.”





