YouVersion Logo
Search Icon

Marko 5:35-36

Marko 5:35-36 SWC02

Yesu alipokuwa hajamaliza kusema maneno haya, wajumbe wakafika kutoka kwa yule mukubwa wa nyumba ya kuabudia na kumwambia: “Binti yako amekwisha kufa. Basi kwa sababu gani ungali unamusumbua Mwalimu?” Lakini Yesu hakuangalia maneno yao, akamwambia yule mukubwa: “Usiogope, uamini tu.”