Marko 3:24-25
Marko 3:24-25 SWC02
Watu wa ufalme mumoja wakigombana wao kwa wao, ufalme ule utaanguka. Nao watu wa jamaa moja wakigombana wao kwa wao, jamaa ile haitadumu.
Watu wa ufalme mumoja wakigombana wao kwa wao, ufalme ule utaanguka. Nao watu wa jamaa moja wakigombana wao kwa wao, jamaa ile haitadumu.