Marko 13:35-37
Marko 13:35-37 SWC02
Basi muangalie sababu hamujui wakati bwana wa nyumba atakaporudi: labda magaribi, au katikati ya usiku, au wakati jogoo anapowika, au asubui. Mujiangalie, asikuje kwa rafla na kuwakuta mumelala usingizi. Mambo ninayowaambia ninyi, ninayasema kwa wote: mukeshe.”





