Marko 13:24-25
Marko 13:24-25 SWC02
“Lakini katika siku zile kisha mateso yale, jua litatiwa giza, mwezi hautaangaza, nyota zitaanza kuanguka toka mbinguni na vyote vyenye nguvu vinavyokuwa katika mbingu vitatikiswa.
“Lakini katika siku zile kisha mateso yale, jua litatiwa giza, mwezi hautaangaza, nyota zitaanza kuanguka toka mbinguni na vyote vyenye nguvu vinavyokuwa katika mbingu vitatikiswa.