YouVersion Logo
Search Icon

Matayo 5:38-39

Matayo 5:38-39 SWC02

“Mumesikia kwamba imesemwa hivi: ‘Jicho kwa jicho, na jino kwa jino.’ Lakini mimi ninawaambia: musirudishe mabaya kwa mabaya. Kama mutu akikupiga kofi kwa shavu la kuume, umugeuzie shavu la kushoto vilevile.