Matayo 27:51-52
Matayo 27:51-52 SWC02
Na saa ile ile pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu mpaka chini. Inchi ikatetemeka, mawe makubwa yakapasuka, makaburi yakafunguka, na watakatifu wengi waliokufa zamani wakafufuliwa.
Na saa ile ile pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu mpaka chini. Inchi ikatetemeka, mawe makubwa yakapasuka, makaburi yakafunguka, na watakatifu wengi waliokufa zamani wakafufuliwa.