YouVersion Logo
Search Icon

Matayo 27:51-52

Matayo 27:51-52 SWC02

Na saa ile ile pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu mpaka chini. Inchi ikatetemeka, mawe makubwa yakapasuka, makaburi yakafunguka, na watakatifu wengi waliokufa zamani wakafufuliwa.