Matayo 22:19-21
Matayo 22:19-21 SWC02
Munionyeshe feza inayotolewa kwa kulipa kodi.” Basi wakamuletea kikoroti kimoja cha feza. Yesu akawauliza: “Sura hii na jina hili linaloandikwa hapa ni vya nani?” Wakamujibu: “Ni vya Mufalme wa Roma.” Halafu Yesu akawaambia: “Basi mumupe Mufalme wa Roma vinavyokuwa vyake, na Mungu vinavyokuwa vyake.”





