Matayo 20:26-28
Matayo 20:26-28 SWC02
Lakini isikuwe hivi katikati yenu. Anayetaka kuwa mukubwa kati yenu, sherti akuwe mutumishi wenu. Naye anayetaka kuwa wa kwanza, sherti akuwe mutumwa wenu. Kwa maana Mwana wa Mutu hakukuja kutumikiwa, lakini kutumikiana na kutoa maisha yake kusudi awakomboe watu wengi.”





