Matayo 10:32-33
Matayo 10:32-33 SWC02
“Kila mutu anayenikubali mbele ya watu, nami nitamukubali vilevile mbele ya Baba yangu anayekuwa mbinguni. Lakini kila mutu anayenikana mbele ya watu, nami nitamukana vilevile mbele ya Baba yangu anayekuwa mbinguni.





