YouVersion Logo
Search Icon

Luka 2:8-9

Luka 2:8-9 SWC02

Na katika pande zile, kulikuwa wachungaji kule katika mbuga wakichunga kondoo zao usiku. Na kwa rafla malaika wa Bwana akawatokea, na mwangaza wa utukufu wa Bwana ukawazunguka. Nao wakaogopa sana.

Verse Image for Luka 2:8-9

Luka 2:8-9 - Na katika pande zile, kulikuwa wachungaji kule katika mbuga wakichunga kondoo zao usiku. Na kwa rafla malaika wa Bwana akawatokea, na mwangaza wa utukufu wa Bwana ukawazunguka. Nao wakaogopa sana.

Free Reading Plans and Devotionals related to Luka 2:8-9