Luka 2:8-9
Luka 2:8-9 SWC02
Na katika pande zile, kulikuwa wachungaji kule katika mbuga wakichunga kondoo zao usiku. Na kwa rafla malaika wa Bwana akawatokea, na mwangaza wa utukufu wa Bwana ukawazunguka. Nao wakaogopa sana.
Na katika pande zile, kulikuwa wachungaji kule katika mbuga wakichunga kondoo zao usiku. Na kwa rafla malaika wa Bwana akawatokea, na mwangaza wa utukufu wa Bwana ukawazunguka. Nao wakaogopa sana.