Yoeli 3
3
Yawe atashusha Roho wake
1Kisha mambo hayo
nitashusha Roho wangu juu ya watu wote.
Watoto wenu wanaume na wabinti watatabiri,
wazee wenu wataota ndoto,
na vijana wenu wataona maono. #Ang. Mdo 2.17-21
2Hata juu ya watumishi wanaume na wanawake,
nitashusha Roho wangu wakati huo.
3Nitafanya kitambulisho cha ajabu mbinguni na katika dunia;
kutakuwa damu, moto na minara ya moshi.
4Jua litatiwa giza,
na mwezi utakuwa kama damu,
mbele ya kutimia kwa siku ya Yawe,
siku inayokuwa kubwa na ya kutisha. #Ang. Mat 24.29; Mk 13.24-25; Lk 21.25; Ufu 6.12-13
5Halafu, watu wote watakaoomba kwa jina la Yawe wataokolewa.
Katika mulima Sayuni na Yerusalema,
kutakuwa watu watakaoponyoka,
kama vile Yawe alivyosema:
wale aliowachagua watabaki wazima. #Ang. Rom 10.13
Currently Selected:
Yoeli 3: SWC02
Highlight
Share
Compare
Copy
Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in
Bible in Swahili Congo © Bible Society of the Democratic Republic of Congo (DRC), 2002.
Yoeli 3
3
Yawe atashusha Roho wake
1Kisha mambo hayo
nitashusha Roho wangu juu ya watu wote.
Watoto wenu wanaume na wabinti watatabiri,
wazee wenu wataota ndoto,
na vijana wenu wataona maono. #Ang. Mdo 2.17-21
2Hata juu ya watumishi wanaume na wanawake,
nitashusha Roho wangu wakati huo.
3Nitafanya kitambulisho cha ajabu mbinguni na katika dunia;
kutakuwa damu, moto na minara ya moshi.
4Jua litatiwa giza,
na mwezi utakuwa kama damu,
mbele ya kutimia kwa siku ya Yawe,
siku inayokuwa kubwa na ya kutisha. #Ang. Mat 24.29; Mk 13.24-25; Lk 21.25; Ufu 6.12-13
5Halafu, watu wote watakaoomba kwa jina la Yawe wataokolewa.
Katika mulima Sayuni na Yerusalema,
kutakuwa watu watakaoponyoka,
kama vile Yawe alivyosema:
wale aliowachagua watabaki wazima. #Ang. Rom 10.13
Currently Selected:
:
Highlight
Share
Compare
Copy
Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in
Bible in Swahili Congo © Bible Society of the Democratic Republic of Congo (DRC), 2002.