Yobu 33:15-18
Yobu 33:15-18 SWC02
Mungu anaongea na watu katika ndoto na maono, wakati usingizi muzito unapowapata, wanaposinzia katika vitanda vyao. Halafu anawafungua watu masikio yao; anawatia hofu kwa maonyo yake, wapate kuachana na matendo yao mabaya, na kuvunja kiburi chao. Hivyo anamukinga mutu asiangamie katika shimo, maisha yake yasiangamie kwa upanga.





