Yobu 28:20-21
Yobu 28:20-21 SWC02
Basi, hekima inatoka wapi? Ni wapi panapopatikana maarifa? Imefichwa mbali na macho ya viumbe vyote vyenye uzima, na ndege hawawezi kuiona.
Basi, hekima inatoka wapi? Ni wapi panapopatikana maarifa? Imefichwa mbali na macho ya viumbe vyote vyenye uzima, na ndege hawawezi kuiona.