YouVersion Logo
Search Icon

Yobu 28:12-13

Yobu 28:12-13 SWC02

Lakini hekima itapatikana wapi? Ni pahali gani panapopatikana maarifa? Hakuna mutu anayejua bei ya hekima, wala hekima haipatikani katika inchi ya wanaokuwa wazima.

Related Videos