Yobu 15:15-16
Yobu 15:15-16 SWC02
Ikiwa Mungu hawaaminii hata wamalaika wake, nazo mbingu si safi mbele yake, kefu sasa mwanadamu anayekuwa chukizo na mupotovu, mwanadamu anayetenda uovu kama kunywa maji!
Ikiwa Mungu hawaaminii hata wamalaika wake, nazo mbingu si safi mbele yake, kefu sasa mwanadamu anayekuwa chukizo na mupotovu, mwanadamu anayetenda uovu kama kunywa maji!