Yoane 6:11-12
Yoane 6:11-12 SWC02
Kisha Yesu akatwaa ile mikate, akamushukuru Mungu na kuigawanya kwa watu walioikaa pale. Akawapa samaki vilevile kwa kadiri walivyotaka. Walipokwisha kushiba, Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Mukusanye vipande vinavyobaki, kusudi kusipotee kitu.”


![[Who's Your One? Series] Valuable Yoane 6:11-12 BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F19681%2F1440x810.jpg&w=3840&q=75)


