YouVersion Logo
Search Icon

Yeremia 7:5-7

Yeremia 7:5-7 SWC02

Lakini mugeuze mwenendo wenu na matendo yenu. Mufuate sheria yangu kati yenu. Musiwatese wageni, wayatima au wajane au kuwaua watu wasiokuwa na kosa katika inchi hii. Musijiangamize wenyewe kwa kuabudu miungu mingine. Mukifanya hivyo, mimi nitawaacha mukae siku zote pahali hapa, katika inchi niliyowapa babu wenu tangu zamani.

Video for Yeremia 7:5-7

Free Reading Plans and Devotionals related to Yeremia 7:5-7