YouVersion Logo
Search Icon

Yeremia 32:39-40

Yeremia 32:39-40 SWC02

Nitawapa moyo mumoja na nia moja, wapate kuniheshimu mimi siku zote, kwa faida yao wenyewe na kwa faida ya watoto wao watakaofuata. Nitafanya nao agano la milele, kwamba sitaacha kuwatendea mema hata kidogo; nitaweka ndani ya mioyo yao utii kwa ajili yangu kusudi wasiniache tena.

Video for Yeremia 32:39-40

Free Reading Plans and Devotionals related to Yeremia 32:39-40