YouVersion Logo
Search Icon

Yeremia 17:7-8

Yeremia 17:7-8 SWC02

Abarikiwe mutu anayenitegemea mimi Yawe, mutu ambaye mimi Yawe ndiye tegemeo lake. Huyo ni kama muti uliopandwa kando ya maji, unaopenyeza mizizi yake karibu na chemichemi. Hauogopi wakati wa jua kali, majani yake yanabaki mabichi. Hauhangaiki katika mwaka wa ukosefu wa mvua, nao haukosi kuzaa matunda.

Verse Images for Yeremia 17:7-8

Yeremia 17:7-8 - Abarikiwe mutu anayenitegemea mimi Yawe,
mutu ambaye mimi Yawe ndiye tegemeo lake.
Huyo ni kama muti uliopandwa kando ya maji,
unaopenyeza mizizi yake karibu na chemichemi.
Hauogopi wakati wa jua kali,
majani yake yanabaki mabichi.
Hauhangaiki katika mwaka wa ukosefu wa mvua,
nao haukosi kuzaa matunda.Yeremia 17:7-8 - Abarikiwe mutu anayenitegemea mimi Yawe,
mutu ambaye mimi Yawe ndiye tegemeo lake.
Huyo ni kama muti uliopandwa kando ya maji,
unaopenyeza mizizi yake karibu na chemichemi.
Hauogopi wakati wa jua kali,
majani yake yanabaki mabichi.
Hauhangaiki katika mwaka wa ukosefu wa mvua,
nao haukosi kuzaa matunda.Yeremia 17:7-8 - Abarikiwe mutu anayenitegemea mimi Yawe,
mutu ambaye mimi Yawe ndiye tegemeo lake.
Huyo ni kama muti uliopandwa kando ya maji,
unaopenyeza mizizi yake karibu na chemichemi.
Hauogopi wakati wa jua kali,
majani yake yanabaki mabichi.
Hauhangaiki katika mwaka wa ukosefu wa mvua,
nao haukosi kuzaa matunda.Yeremia 17:7-8 - Abarikiwe mutu anayenitegemea mimi Yawe,
mutu ambaye mimi Yawe ndiye tegemeo lake.
Huyo ni kama muti uliopandwa kando ya maji,
unaopenyeza mizizi yake karibu na chemichemi.
Hauogopi wakati wa jua kali,
majani yake yanabaki mabichi.
Hauhangaiki katika mwaka wa ukosefu wa mvua,
nao haukosi kuzaa matunda.Yeremia 17:7-8 - Abarikiwe mutu anayenitegemea mimi Yawe,
mutu ambaye mimi Yawe ndiye tegemeo lake.
Huyo ni kama muti uliopandwa kando ya maji,
unaopenyeza mizizi yake karibu na chemichemi.
Hauogopi wakati wa jua kali,
majani yake yanabaki mabichi.
Hauhangaiki katika mwaka wa ukosefu wa mvua,
nao haukosi kuzaa matunda.Yeremia 17:7-8 - Abarikiwe mutu anayenitegemea mimi Yawe,
mutu ambaye mimi Yawe ndiye tegemeo lake.
Huyo ni kama muti uliopandwa kando ya maji,
unaopenyeza mizizi yake karibu na chemichemi.
Hauogopi wakati wa jua kali,
majani yake yanabaki mabichi.
Hauhangaiki katika mwaka wa ukosefu wa mvua,
nao haukosi kuzaa matunda.

Free Reading Plans and Devotionals related to Yeremia 17:7-8