Waamuzi 16:30
Waamuzi 16:30 SWC02
Kisha akasema: “Na nikufe pamoja na Wafilistini.” Akasukuma kwa nguvu zake zote. Nyumba ikawaangukia wakubwa hao wote wa Wafilistini waliokuwa mule ndani. Wale waliouawa wakati wa kifo chake walikuwa wengi kuliko wale aliowaua wakati alipokuwa muzima.





