Yakobo 1:23-24
Yakobo 1:23-24 SWC02
Kwa maana mutu anayesikia neno tu pasipo kulitimiza, anafanana na mutu anayejiangalia sura yake mwenyewe katika kioo. Kisha kujiangalia, anajiendea, na mara moja anasahau namna anavyokuwa.
Kwa maana mutu anayesikia neno tu pasipo kulitimiza, anafanana na mutu anayejiangalia sura yake mwenyewe katika kioo. Kisha kujiangalia, anajiendea, na mara moja anasahau namna anavyokuwa.