Isaya 40:30-31
Isaya 40:30-31 SWC02
Hata vijana wataregea na kuchoka; kweli washujaa wataanguka kwa muchoko. Lakini wote wanaomutumainia Yawe, watapata nguvu mupya. Watapanda juu kwa mabawa kama tai, watakimbia bila kuchoka, watatembea bila kuregea.
Hata vijana wataregea na kuchoka; kweli washujaa wataanguka kwa muchoko. Lakini wote wanaomutumainia Yawe, watapata nguvu mupya. Watapanda juu kwa mabawa kama tai, watakimbia bila kuchoka, watatembea bila kuregea.