YouVersion Logo
Search Icon

Hosea 11:4

Hosea 11:4 SWC02

Niliwaongoza kwa huruma, nilishikamana nao kwa upendo; kama baba anavyomunyanyua mutoto mpaka kwenye shavu lake, ndivyo nami nilivyokuwa kwao. Mimi niliinama chini na kuwakulisha.

Related Videos

Free Reading Plans and Devotionals related to Hosea 11:4