Waebrania 8:8
Waebrania 8:8 SWC02
Lakini Mungu aliwaonya watu wake, akisema: “Katika siku zinazokuja, nitafanya agano jipya na watu wa ufalme wa Israeli na wa Yuda. Ni Bwana anayesema hivyo.
Lakini Mungu aliwaonya watu wake, akisema: “Katika siku zinazokuja, nitafanya agano jipya na watu wa ufalme wa Israeli na wa Yuda. Ni Bwana anayesema hivyo.