Waebrania 1:1-2
Waebrania 1:1-2 SWC02
Zamani Mungu alisema na babu zetu kwa njia ya manabii, mara nyingi na kwa namna nyingi. Lakini kwa siku hizi za mwisho amesema nasi kwa njia ya Mwana wake. Mungu alimuweka kuwa murizi wa vitu vyote, na ambaye kwa njia yake aliumba ulimwengu wote.





