YouVersion Logo
Search Icon

Habakuki 3:17-18

Habakuki 3:17-18 SWC02

Hata kama miti ya tini isipochanua maua wala mizabibu kuzaa zabibu, hata kama mizeituni isipozaa zeituni na mashamba yasipotoa chakula, hata kama kondoo wakitoweka katika zizi na nyama wa kufugwa kukosekana katika mazizi, mimi nitaendelea kumufurahia Yawe. Nitamushangilia Mungu anayeniokoa.

Video for Habakuki 3:17-18

Verse Images for Habakuki 3:17-18

Habakuki 3:17-18 - Hata kama miti ya tini isipochanua maua
wala mizabibu kuzaa zabibu,
hata kama mizeituni isipozaa zeituni
na mashamba yasipotoa chakula,
hata kama kondoo wakitoweka katika zizi
na nyama wa kufugwa kukosekana katika mazizi,
mimi nitaendelea kumufurahia Yawe.
Nitamushangilia Mungu anayeniokoa.Habakuki 3:17-18 - Hata kama miti ya tini isipochanua maua
wala mizabibu kuzaa zabibu,
hata kama mizeituni isipozaa zeituni
na mashamba yasipotoa chakula,
hata kama kondoo wakitoweka katika zizi
na nyama wa kufugwa kukosekana katika mazizi,
mimi nitaendelea kumufurahia Yawe.
Nitamushangilia Mungu anayeniokoa.Habakuki 3:17-18 - Hata kama miti ya tini isipochanua maua
wala mizabibu kuzaa zabibu,
hata kama mizeituni isipozaa zeituni
na mashamba yasipotoa chakula,
hata kama kondoo wakitoweka katika zizi
na nyama wa kufugwa kukosekana katika mazizi,
mimi nitaendelea kumufurahia Yawe.
Nitamushangilia Mungu anayeniokoa.

Free Reading Plans and Devotionals related to Habakuki 3:17-18