YouVersion Logo
Search Icon

Mwanzo 49:22-23

Mwanzo 49:22-23 SWC02

“Yosefu ni kama muti unaozaa, muti unaozaa kando ya chemichemi, matawi yake yanatanda kwenye ukuta. Wapiga mishale walimushambulia vikali, wakamutupia mishale na kumusumbua sana.